Exams & Assessments

DOC F4 KISW OPENER TERM 3 2026 (1)

Secondary (8-4-4) Form 4 Term 3 0 downloads DOCX Editable KES 50

KES 50

Have an account? Login

Paystack (Cards & More)

Document Details

Category: Exams & Assessments
Level: Secondary (8-4-4)
Grade: Form 4
Term: Term 3
Price: KES 50
Format: DOCX
Downloads: 0

Document Preview

Word Editable Sample
PROFESA HUB SAMPLE
Microsoft Word Document (.docx) 100% Editable on Download

MTIHANI WA UFUNGUZI WA MUHULA WA TATU 2026KIDATO CHA NNE

MUDA: SAA 2 DAKIKA 30

JINA: _____________________________________

NAMBARI YA USAJILI: _______________

DARASA: __________________________________

TAREHE: _____________________

MAAGIZO KWA MTAHINIWA:1. Karatasi hii ina sehemu mbili kuu: Insha na Lugha.2. Katika Sehemu ya Insha, jibu maswali MAWILI. Swali la kwanza ni la LAZIMA, kisha chagua lingine moja kutoka yaliyosalia.3. Katika sehemu ya Lugha, jibu maswali YOTE kwenye nafasi zilizoachwa wazi.

SEHEMU YA 1: INSHA (ALAMA 40)

Chagua maswali MAWILI. Swali la 1 ni la LAZIMA. Kila insha isipungue maneno 400.

Swali la 1 (La Lazima) [Alama 20]

Wewe ni Katibu wa Chama cha Kiswahili katika shule yako. Chama chenu kiliandaa mkutano maalum tarehe 10 Juni 2026 ili kupanga mikakati ya maandalizi ya Warsha ya Kiswahili ya Kaunti itakayoandaliwa shuleni mwenu. Andika kumbukumbu za mkutano huo, ukizingatia ajenda kuu kama vile bajeti, wataalamu waalikwa, ratiba ya siku hiyo na majukumu ya wanachama.

Swali la 2 [Alama 20]

Teknolojia ya kisasa na mitandao ya kijamii zimeleta athari kubwa chanya na hasi katika maadili na masomo ya wanafunzi wa shule za upili. Jadili kauli hii kwa kina.

Swali la 3 [Alama 20]

Andika insha inayodhihirisha ukweli wa methali: "Mchelea mwana kulia hulia yeye."

Swali la 4 [Alama 20]

JINA: _____________________________________NAMBARI YA USAJILI: _______________
DARASA: __________________________________TAREHE: _____________________
Full Complete Document Available Instant download link sent to your email & phone immediately on payment confirmation.
Curriculum CBC / CBE Kenya
Grade / Class Form 4
Term Term 3
File Format DOCX (Editable)
Profesa Hub Quality Guarantee: Every resource is verified for curriculum accuracy, correct strand alignments, lesson breakdowns, and complete teacher guidelines.
Kenyan CBC Curriculum Aligned (KICD Compliant)

This document is professionally prepared and verified for Form 4 (Secondary (8-4-4)) • Term 3.

Key Inquiry Questions
  • Competency-driven teacher inquiry models
  • Guiding questions for active learner engagement
  • Real-life problem-solving applications
Assessment Rubrics
  • Formative & summative assessment indicators
  • Performance levels (Exceeding, Meeting, Approaching)
  • Practical assessment task breakdowns
100% Fully Editable Print Ready & Clean Layout Instant Delivery via Email & WhatsApp
Cart: KES 0
Pay & Checkout